Baraka Mbolembole

Mwandishi na Mchambuzi mkongwe na aliyebobea katika familia ya kandanda. Baraka anandika habari na uchambuzi wenye tafakari na jicho la tatu ndani yake. Ukimuelewa utapata ‘madini’ mazuri kutoka kwake, kwake yeye ‘spedi’ ni ‘spedi’ na ‘kijiko’ ni ‘kijiko’.
Ligi Kuu

Beno angefuata njia ya Kessy, si kuimaliza Yanga.

KWA misimu miwili ndani ya Yanga SC, golikipa Beno Kakolanya ameanza kikosi cha kwanza katika michezo isiyozidi 25 kati ya 73 ya ligi kuu Tanzania Bara, amecheza chini ya mechi tano kati ya 22 ambazo Yanga wamechezakatika michuano yaCaf ( Champions league + Confederations), na hajawahi hata mara moja kuichezea...
Blog

Meddie Kagere anatupa funzo lingine muhimu katika soka.

MEDDIE Kagere alifunga goli lake la 12 tangu aliposainiwa Simba SC Julai iliyopita. Alifungamagoli manne na kuisaidia Simba kufika fainali ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati, tayari amefunga magoli saba katika ligi kuu Tanzania Bara, na goli lake la 12 dhidi ya Mbabane Swallows FC jana jioni katika ligi...
Ligi Kuu

Baada ya Chanongo, Ubwa na Ndemla, Salamba atapotezwa.

Wako wapi, Abuu Ubwa na Haruna Chanongo? Kwanini Said Ndemla bado anaendelea kuchezea Simba SC wakati iliripotiwa alifuzu majaribio yake huko Sweden mwanzoni mwa mwaka huu? Nini kinaendelea kumfanya Thomas Ulimwengu aendelee ‘kutangatanga’ kimpira tangu alipolazimisha kuondoka TP Mazembe Septemba 2016? Maswali yote haya najiuliza na ninayo majibu ya msingi,...
Ligi Kuu

Kwanini iwe Young Africans Football Club?

Mwaka2005 vijana-wapenda soka mtaa wa Area Six-NaneNane, Morogoro tuliamua kuiingiza katika ligi rasmi timu ya mtaani kwetu. Kulikuwa na vijana zaidi ya 35 wenye vipaji vya soka. Na kati yao tulikuwa wawili tu waliokuwa tukicheza nje ya mtaani kwetu kila msimu wa ligi ya TFF ( ligi daraja la nne-...
1 4 5 6 7 8 14
Page 6 of 14