TUANDIKIE TUKUWEKEE KWENYE TOVUTI
Wewe ni Shabiki wa Kandanda? Unaandika makala? Iwe kwaajili ya Timu yako ya Nje au Ndani! Au maoni yako tu.
Tutumie habari@kandanda.co.tz tutaihariri na kuiweka katika tovuti ya kandanda.co.tz
#KandandaChat
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi (Kamati ya Saa) katika kikao chake cha Mei 1, 2018 chini ya Mwenyekiti wake Bw. Clement Sanga ilipitia matukio mbalimbali ya Ligi Kuu ya Vodacom, na malalamiko ya klabu za Yanga na Arusha FC na kuyafanyia uamuzi. Mechi namba 199 (Mbeya City 1...
Kamati imeipa Arusha FC ushindi wa pointi tatu na mabao matatu baada ya African Sports kuchezesha wachezaji wawili waliotumia leseni za kughushi (non qualified) katika mechi ya Kundi B Ligi Daraja la Pili (SDL) kati ya timu hizo iliyochezwa Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga. Uamuzi huo dhidi ya African Sports...
Kamati imekataa malalamiko ya Yanga kutaka ipatiwe ushindi wa pointi tatu na mabao matatu dhidi ya Mbeya City kwa timu hiyo kuwa na mchezaji zaidi kwenye mechi, kwa vile hakuna Kanuni yoyote ya Ligi Kuu inayoweza kubadili matokeo ya uwanjani kwa mazingira hayo. Hakuna namna yoyote ile mchezaji anayezidi (extra...