Haruna F. Niyonzima
"Mpira uende wapi hapo?" Niyonzima akipamna hapo ...
Lipuli FC
Lipuli FC moja ya timu kongwe nchini, maskani yake ni katika mji wa Iringa. Haijawahi kuchukua taji la Ligi Kuu Tanzania. Mafanikio makubwa katika msimu wa 2018/2019 ni kkufika hatua ya fainali ya kombe la shirikisho la soka la Tanzania, ikafungwa na Azam FC.