Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Mwamba akiwa na rekodi mbalimbali za mabao lakini hii moja ndio iliyonivutia zaidi, Zlatan ndie mchezaji aliefunga bao katika kila dakika ya mchezo wa soka akiwa uwanjani
Ni lazima mchezaji bora awe mchezaji aliyefunga mabao mengi? Au ni lazima awe mchezaji aliyehusika na mabao zaidi? Au mchezaji bora anapatikana vipi, vipi kwa upande wa walinzi ama walinda mlango?
Ni kweli katika Ligi kuna viungo wengi wengine wazuri na bora kama kina Aziz Ki, Clatous Chama, James Akamiko, Feisal Salum na Sixtus Sabilo lakino wote hao hawamfikii Saidoo
Bado matumaini na macho ya Wanakandanda yanabaki wa washambuliaji wawili kutoka Congo Jean Baleke na Fiston Mayele. Hakika mchezo wa watani upo mikononi mwao kesho.
Yanga wao ni wazi wataingia katika mchezo huo wakiwa kifua mbele kwani hawana presha yoyote kutokana na historia nzuri mbele ya Mnyama waliyonayo hivi karibuni.
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga na Kagera Sugar kocha na kiungo wa timy hiyo wametema cheche walipokua wakiongelea mchezo huo mbele ya Waandishi wa habari Denis Nkane aliyeongea kwa niaba ya wachezaji wenzake amesema malengo yao yapo palepale yakutwaa ubingwa na wapo tayari kufanya vyema...
Kufuatia kipigo hicho kutoka kwa Raja klabu ya Simba sasa imepata ushindi katika michezo mitatu pekee kwenye kundi lao huku ikifunga mabao kumi na kuruhusu mabao saba.
Sasa Simba na Yanga zinapishana katika viwanja vya ndege vya Kimataifa wakienda kupambana na vigogo wengine Afrika, wakati pia tuna uhakika wakupata mechi nzuri kila weekend pale Kwa Mkapa