Mchambuzi na Mkufunzi wa Mpira wa miguu. Tigana hufanya uchambuzi katika vituo mbali mbali vya redio na luninga. Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania bara.
Simba anapaswa kijiandaa vyema kukabiliana na mpinzani wenye sifa ya kushinda au kulazimisha sare ugenini ile imani ya kwa Mkapa hatoki mtu isiwe sababu ya msingi.
Nadhani kuna haja ya kuachana na dhana ya kutumia wachezaji waliopita katika club wakati wa Career zao wakiwa wachezaji kabla ya kuturn kwenye Coaching.
Tuchel na vijana wake watalazimika kujilaumu sana sana kutokubadilisha mbinu mara baada ya mabadiliko ya Camavinga ambaye aliongeza kitu kikubwa uwanjani.
Kifupi nao ni 'washamba' kama si wageni na njia naamini ni nafasi ya Simba kusonga mbele kama watakuwa na matumizi mazuri Estadio de Mkapa hiyo April 14.