Taarifa kutoka kwa klabu ya Simba imeeleza Al-Ahly wamekubali kushirikiana na Simba katika kujenga kituo cha kukuzia vijana cha soka, pia Alhly kuja nchini kucheza mchezo wa Kirafiki na Simbasc.
Falsafa ya Simba ni Kushambulia kwa kulimiliki eneo la kati, na ikitokea Simba wakamilikiwa kati, ujue kutakuwa hakuna ujanja mwingine. Acha tuzitazame mechi hizi ili kuliona hili… JS SAOURA VS SIMBA. Katika mechi hii Simba walilala kwa goli 2-0, huku eneo la kiungo wakianza na James Kotei na Jonas Mkude...
Usajili wa Simba unaonekana kuwa ni wa kimikakati zaidi, hasa kwa kuzingatia ripoti ya mwalimu na madhaifu yaliyojitokeza katika kikosi kwa msimu ujao kuanzia kwenye ligi hadi klabu bingwa Afrika.
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz