Mfaume Mfaume na Idd Pialari ni mpaka mtu afe
Achana na "Derby" ya kwenye kandanda kati ya Simba na Yanga ambayo ndio maarufu hapa Tanzania na Afrika pia kutokana na upinzani mkubwa wa wawili hao kuna hii "Derby ya kwenye masumbwi "mchezo wa ngumi" kati ya Mabibo na Manzese. Kuna lile pambano lilifanyika pale Jijini Arusha katika usiku wa...