Kocha Simba Aipeleka Timu Yake Fainali Ligi ya Mabingwa
Hii itakuwa fainali ya pili mfululizo kwa Wydad na ya tatu dhidi ya Al Ahly, msimu uliopita wawili hao walikutana na Wydad waliibuka washindi kwa na kutwaa kombe hilo.
Ukurasa maalumu kwaajili ya mashindano makubwa yote tunayoweza kuandikia katika bara la Afrika na Ulaya pekee. Mshindano mengine habari zake zinaingia katika sehemu ya Blog