Simba SC: Klabu Bingwa

Mabingwa Afrika

Yanga anasonga mbele klabu bingwa.

Kuna mtu ananiambia dhamana ya Yanga kusonga mbele ipo. Mikononi mwa hawa jamaa ,unaweza kuwaita 'Wakombozi wa ngambo'. Nilivyouliza una maana gani kwenye hoja yako? majibu yake yalikuwa mepesi tu 'nyumba ni mlango' Diarra akiamua kuufunga mlango kisawasawa basi usalama ni 100% Nikamuuliza vip Aziz Ki (Azizi ufunguo ) akaniambia...
1 11 12 13 14 15 37
Page 13 of 37