Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuandika na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Akikabidhi zawadi hiyo, balozi wa 888 bet Maulid Kitenge, ameonesha kufurahishwa na ushindi wa Bi Shama ambaye anakua mwanamke wa kwanza kujishindia zawadi toka droo hiyo ya Dabodabo ianze.
Rejea magoli ya Simba waliyoyafunga Angola dhidi ya Agosto, pia katika mchezo dhidi ya Yanga bao la Augustine Okra lilipatikana kwa kupigwa pasi tano tu.
PARIMATCH na kusema kwamba imekuwa ni desturi yao kusikiliza maoni ya
wateja wao kila mara na kuamua kuyafanyia uamuzi ili kusudi waweze kuwapatia
kitu kilichokuwa bora wateja wao ambao hutumia muda wao ziada kujiburudisha
akili zao na Parimatch.
Juma Mgunda kocha wa zamani wa Coastal Union yupo katika nafasi nzuri ya kuivusha Simba na kuipeleka katika hatua ya makundi ya Klabu bingwa Afrika baada ya kupata ushindi wa mabao matatu kwa moja ugenini.
Kwa mfano unaweza kucheza mchezo wa Don Bingote ambayo inaanzia dau la Shilingi 400 na kila sekunde watu wanavuna mkwanja wa maana yaani huu sio utani watu wanapiga kiukweli”
sasa imewageukia wateja wao kwa kuwamwagia fursa kemkem za kujipatia mamilioni ya pesa kiulani wakati wakiwa wanasajili akaunti zao mpya za ubashiri wa michezo.