Simba SC: Klabu Bingwa

Mabingwa Afrika

Cletus Cholla Chama!

Kiungo mshambuliaji wa Zâmbia katika klabu ya Simba sc Cletus Cholla Chama aliendeleza moto wake katika mashindano ya Klabu Bingwa Africa Jana katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Simba jana ilikua dimbani kuiwakilisha nchini katika michuano hiyo ya klabu bingwa Africa dhidi ya Mbabane Swallors ya Swatziland. Katika...
Mabingwa Afrika

Simba ‘yaua’ MTU!

Dakika nane pekee ndizo ambazo ziliwachukua Simba kufunga goli la kwanza kupitia kwa John Raphael Bocco. Goli hili lilidumu kwa dakika 19 , ambapo Guevand Nzambe aliipatia Mbambane goli la kusawazisha. Goli ambalo liliwapa nguvu Mbambane katika mchezo huu. John Bocco aliipatia timu yake goli la pili kwa mkwaju wa...
1 33 34 35 36 37
Page 35 of 37