Mataifa Afrika

Kwa elfu 13 tu unaishuhudia Taifa Stars nchini Misri.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza gharama za tiketi za kutazama mechi za Fainali ya Africa (AFCON) inayotarajia kuanza mwezi ujao nchini Misri. CAF imetangaza gharama hizo kwa madaraja mbalimbali, ambpo kwenye michezo ya hatua ya makundi ambayo itahusisha timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” tiketi za...
Blog

Yaya Toure kufanya majaribio kwenye timu ya daraja la pili.

Kiungo wa zamani wa Barcelona na Manchester City Yaya Toure yupo nchini China kwenye klabu ya Qingdao Huanghai akifanya majaribio kwa ajili ya kujiunga na klabu hiyo ya daraja la pili. Klabu hiyo imetoa taarifa ya majaribio hayo kwa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 36 leo Ijumaa ambapo imesema...
Mataifa Afrika

Obi kurejea timu ya Taifa kwa ajili ya AFCON.

Kiungo John Obi Mikel amethibitisha kwamba ataitumikia timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’ kwenye fainali ya Mataifa Afrika zinazotarajiwa kufanyika kuanzia mwezi ujao nchini Misri. Taarifa kutoka kwenye uongozi wa timu ya Taifa zimesema kwamba Mikel tayari ameshakutana na kocha Rohr Gernot nchini Uingereza kujadiliana na hilo na kuthibitisha...
La Liga

Griezmann kuondoka Atletico Madrid.

Klabu ya soka ya Atletico Madrid kupitia katika kurasa zake za mitandao ya kijamii imethibitisha kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Antoine Griezmann hatokuwa na timu hiyo kwa msimu ujao licha ya kwamba mkataba wake unaisha mwaka 2023. Atletico Madrid imesema kwamba mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 28 tayari...
Mataifa Afrika

Migne ataja 30 wa awali kwa ajili ya AFCON.

Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Soka ya Kenya ‘Harambee Stars’ Sebastien Migne ametangaza majina ya awali ya wachezaji 30 kwa ajili ya michezo ya kirafiki kujiandaa na michuano ya Mataifa Afrika inayotazamiwa kufanyika kuanzia mwezi ujao nchini Misri. Katika kikosi hicho kilichotangazwa leo, wachezaji 11 walioitwa wanacheza ligi...
La Liga

Iniesta atuma salamu za kheri kwa swahiba wake.

Kiungo wa timu ya Vissel Kobe ya Japan Andres Iniesta amemshukuru na kumtakia kheri mchezaji Xavier Hernández Creus ‘Xavi’ ambaye ametangaza kustaafu kucheza soka la kulipwa mwishoni mwa msimu huu. Iniesta ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa anajivunia kukua na kucheza pamoja na kiungo Xavi katika timu ya Taifa...
1 2 3 34
Page 1 of 34