Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limetangaza gharama za tiketi za kutazama mechi za Fainali ya Africa (AFCON) inayotarajia kuanza mwezi ujao nchini Misri. CAF imetangaza gharama hizo kwa madaraja mbalimbali, ambpo kwenye michezo ya hatua ya makundi ambayo itahusisha timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” tiketi za...
Kiungo wa zamani wa Barcelona na Manchester City Yaya Toure yupo nchini China kwenye klabu ya Qingdao Huanghai akifanya majaribio kwa ajili ya kujiunga na klabu hiyo ya daraja la pili. Klabu hiyo imetoa taarifa ya majaribio hayo kwa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 36 leo Ijumaa ambapo imesema...
Kiungo John Obi Mikel amethibitisha kwamba ataitumikia timu ya Taifa ya Nigeria ‘Super Eagles’ kwenye fainali ya Mataifa Afrika zinazotarajiwa kufanyika kuanzia mwezi ujao nchini Misri. Taarifa kutoka kwenye uongozi wa timu ya Taifa zimesema kwamba Mikel tayari ameshakutana na kocha Rohr Gernot nchini Uingereza kujadiliana na hilo na kuthibitisha...
Klabu ya soka ya Atletico Madrid kupitia katika kurasa zake za mitandao ya kijamii imethibitisha kwamba mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa Antoine Griezmann hatokuwa na timu hiyo kwa msimu ujao licha ya kwamba mkataba wake unaisha mwaka 2023. Atletico Madrid imesema kwamba mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 28 tayari...
Kiungo wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Abdalla Hamis amejiunga na timu ya Orapa United FC ya nchini Botswana kwa mkataba wa miaka miwili, imethibitishwa. Hamisi ambaye aliichezea Tanzania Bara ‘Kilimanjaro stars’ kwenye michuano ya ukanda wa Afrika Mashaiki na Kati ‘’CECAFA’ iliyofanyika nchini Kenya mwaka 2017 amejiunga...
Kocha mkuu wa timu ya Taifa ya Soka ya Kenya ‘Harambee Stars’ Sebastien Migne ametangaza majina ya awali ya wachezaji 30 kwa ajili ya michezo ya kirafiki kujiandaa na michuano ya Mataifa Afrika inayotazamiwa kufanyika kuanzia mwezi ujao nchini Misri. Katika kikosi hicho kilichotangazwa leo, wachezaji 11 walioitwa wanacheza ligi...
Kiungo anayeondoka Manchester United Ander Herrera amesema kocha wa klabu hiyo Ole Gunnar Solskjaer ndiye chaguo sahihi kwa sasa lakini anahitaji muwa wa kuweza kurejea na kuanza kuwania mataji kama ilivyokuwa zamani. Herrera ambaye anatajwa kuwa atajiunga na Matajiri wa Ufaransa Paris St Germain mwanzoni mwa msimu ujao, amesema anamuamini...
Beki wa pembeni wa timu ya soka ya Mwadui ya mjini Shinyanga Miraji Makka amesema imembidi kusafiri na timu kuelekea jijini Dar es Salaam ili kupambana na kuisaidia timu hiyo kusalia kwenye ligi kuu msimu ujao watakapocheza na KMC.
Kiungo wa timu ya Vissel Kobe ya Japan Andres Iniesta amemshukuru na kumtakia kheri mchezaji Xavier Hernández Creus ‘Xavi’ ambaye ametangaza kustaafu kucheza soka la kulipwa mwishoni mwa msimu huu. Iniesta ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kuwa anajivunia kukua na kucheza pamoja na kiungo Xavi katika timu ya Taifa...