TP Mazembe waiua ndoto ya Msuva Klabu Bingwa
Mtanzania Simon HappyGod Msuva ameshindwa kuifikia ndoto yake ya kucheza hatua ya robo fainali ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya timu yake ya Difaa El Jadidi kutoka sare ya bao 1-1 na TP Mazembe katika mchezo wa mwisho wa B na kushika nafasi ya tatu. Katika mchezo Simon...