Baada ya Kipigo Katika FA Hii Hapa Rekodi Mbovu Yakupoteza Iliyowekwa na Simba
Na kipigo cha mwisho ni dhidi ya Azam Fc katika nusu fainali ambapo Simba walipoteza kwa mabao mawili kwa moja na hivyo kuondoshwa kwenye kombe hilo na kuifanya Simba kutoka tena patupu msimu huu bila kombe lolote.