Kwa urejeo wa Bundesiliga ni kiashirio kipya cha nusu kwa Ligi nyingine barani Ulaya ambazo pia zina mpango wa kumalizia michezo iliyobaki ili Ligi iishe na bingwa apatikane uwanjani!
Timu 14 zilizofuzu hatua ya kwanza ni Zimbabwe, Msumbiji, Namibia, Angola, Guinea-Bissau, Malawi, Togo, Sudan, Rwanda, Tanzania, Equitorial Guinea, Ethiopia, Liberia na Djibouti.