Ligi Kuu

Ligi Kuu

‘Battle 8’ ninazotarajia kuziona Yanga dhidi ya Simba.

Tangu mwaka 1965, Simba na Yanga wamecheza mechi 101, Yanga akishinda michezo 36, sare 35 na kufungwa mechi 30. Simba akishinda michezo 30, akitoa sare mara 36 na kupoteza michezo 36. Yanga imejikusanyia alama 143 huku Simba ikijikusanyia pointi 125 katika michezo yote 101 waliyokutana, je Simba kupunguza “gap” la alama au Yanga kupanua gap hilo? tukutane taifa.
Ligi Kuu

MZFA Watoa ufafanuzi, kutokuwapo kwa Ambulance Kirumba.

Chama cha soka mkoa wa Mwanza (MZFA) kimetolea ufafanuzi kuhusiana na kutokuwapo kwa gari la wagonjwa (Ambulance) kwenye uwanja wa CCM Kirumba wakati Mbao FC wakicheza na Coastal Union ya Tanga kwenye michuano ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara. Katibu Msaidizi wa MZFA Khalid Bitebo amesema ni kweli gari la...
1 49 50 51 52 53 94
Page 51 of 94