Majimaji FC kukosa nyota watano kesho dhidi ya Yanga
Kuelekea mchezo wa kombe la shirikisho la Azam Sports Federation Cup (ASFC) dhidi ya Yanga sc hapo kesho, klabu ya Majimaji FC itawakosa nyota wake watano Hafsa habari wa klabu hiyo, Onesmo Ndunguru, amesema kuwa kikosi chao kitawakosa jumla ya wachezaji watano wenye matatizo mbalimbali, hivyo benchi la ufundi la...