Chiyangi atasababisha mabingwa hao wa Afcon 2012, kufuzu kutoka kwenye kundi lao K dhidi ya Namibia mchezo utakaopigwa kunako uwanja wa taifa wa Zambia mnamo Machi 24
Jonesia ndiye mwanamke pekee atakayeshika kipenga kama mwamuzi wa kati, Wanawake wengine ni pamoja Mary Njoroge (Kenya) Lidwine Rakotozafinoro (Madagascar)
Shirikisho la soka la Madagascar, limeongeza mkataba wa kocha wa timu ya taifa ya nchi hiyo Nicolas Depuis hadi mwisho wa fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) Depuis, anapata nafasi ya kuiongoza Madagascar kwenye fainali za kwanza kwenye historia ya taifa hilo Kocha huyo mwenye umri wa miaka 51, ambaye...
Pochettino, pia atatakiwa kulipa faini ya paundi 10,000 na kufungiwa kwake kutamfanya akose mchezo wa ugenini dhidi ya Southampton na ule wa nyumbani watakaoikaribisha Crystal Palace