Ligi Kuu

Nani kuujaza uwanja tarehe 29?

Mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara utakaowakutanisha Simba na Yanga Jumapili Aprili 29,2018 uliopangwa kuchezwa saa 10 jioni kwenye Uwanja wa Taifa Tiketi zinaendelea kuuzwa kupitia Selcom. Yeyote anayetaka kununua tiketi hizo kupitia Selcom anachotakiwa kufanya ni kujaza pesa kwenye kadi yake ya Selcom ambayo inamuwezesha kuweza kununua...
Ligi Kuu

Changamoto ya mabadiliko ya mchezaji wa Mbeya City katika mchezo dhidi ya Yanga.

Katika dakika ya 96, dakika ya mwisho ya nyongeza kati ya dakika 6 alizoongeza mwamuzi Shomari Lawi katika mchezo wa Ligi kuu Vodacom Tanzania bara kati ya Mbeya City na Yanga uliofanyika Aprili 22, 2018, Sokoine, Mbeya ulizuka utata ikidaiwa mchezaji Namba 10 wa Mbeya City aliyefanyiwa mabadiliko alirudi tena...
Kombe la Dunia

Benki ya CRDB kuwapeleka wateja wake Urusi

Benki ya CRDB imetangaza kuanza rasmi kwa kampeni ijulikanayo kama “Furahia kandanda murua nchini Urusi” #TwenzetuRussia, itakayowawezesha watumiaji wa kadi za malipo za TemboCard Visa za Benki hiyo kujishindia safari ya kwenda kuangalia mechi za michuano ya kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Urusi, kuanzia mwezi Juni mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa...
Blog

Galacha wetu wa kukuletea stori mwezi machi huyu hapa!

Kila mwezi tutakuwa tukikuletea mtu ambae amefanikiwa kuwafikia wasomaji wetu wengi katika mwezi husika. Hivyo basi kwa mwezi wa machi, ni Thomas Mselemu unaweza kusoma stori zake zilizotia fora kwa mwezi huo. Hizi ndio stori zake zilizosomwa zaidi. Walipo’chemka’ Simba ni hapa! Mkude ananifanya na mimi nitamani kucheza namba sita!...
Ligi Kuu

Mambo 10 muhimu baada ya Simba kuifunga Prisons.

Hii ni kutoka mezani kwa Haji Manara! 1.Ni Dhairi kwamba Groves za Juma Kaseja bado zinaishi kwenye mikono ya Aish Manula kuna safari kubwa sana kwa Nduda ili kukaa kwenye milingoti mitatu usisahau pia Nduda ni mtu hatari sana na yeye. Aishi Manula 2.Pierre Lechantre na Masoud Djuma sina shaka...
Ligi Kuu

Mechi ya Mbeya City yapigwa kalenda

Mechi namba 199 ya Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Mbeya City na Yanga iliyopangwa kufanyika Mei 1, 2018 kwenye Uwanja wa Kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya itapangiwa tarehe nyingine, hii ni kwamujibu wa taarifa kutoka TFF. Uamuzi wa kuipangia tarehe nyingine ni kukidhi matakwa ya Kanuni inayotaka nafasi kati...
1 61 62 63 64
Page 63 of 64