Uhamisho

Dondoo, Taarifa, Uchambuzi na Matukio yanayohusu uhamisho wa wachezaji Ligi zote Ulimwenguni

Ligi KuuUhamisho

Kwasi Ruksa kwenda Simba Sc

Taarifa hii ni kutoka katika klabu ya Lipuli Fc. Uongozi wa LIPULI FC unapenda kutoa taarifa kwa wanachama, mashabiki na wapenzi wake juu ya hatma ya mchezaji Asante Kwasi ambaye toka kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu amekuwa mchezaji halali wa LIPULI FC lakini ktk siku za hivi...
Ligi KuuUhamisho

Kwasi ni wa Lipuli FC

Lipuli FC, yenye maskani yake katika mji wa Iringa, imekanusha kwa nguvu zote kuhusiana na uvumi wa beki wao kisiki Asante Kwasi kuhusu kuachana na klabu hiyo. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Uongozi wa timu ya Lipuli Fc ya mkoani Iringa unapenda kuchukua wasaa huu kukanusha uwepo wa mazungumzo ya...
1 20 21 22
Page 22 of 22