Hans Plujim kupishana na Ettiene Ndariagije
Ni rasmi sasa kocha Mholanzi Hans Van Plujim hatokua na kikosi cha Singida utd katika msimu ujao baada ya uongozi wa Singida utd kuthibitisha hilo. Kocha huyo aliekula amesaini kandarasi ya mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo ilipopanda daraja mwaka jana amekataa kuongeza mkataba mwingine wa kuendelea kuinoa klabu hiyo. Huku...