Uhamisho

Dondoo, Taarifa, Uchambuzi na Matukio yanayohusu uhamisho wa wachezaji Ligi zote Ulimwenguni

Uhamisho

Hans Plujim kupishana na Ettiene Ndariagije

Ni rasmi sasa kocha Mholanzi Hans Van Plujim hatokua na kikosi cha Singida utd katika msimu ujao baada ya uongozi wa Singida utd kuthibitisha hilo. Kocha huyo aliekula amesaini kandarasi ya mwaka mmoja kuitumikia timu hiyo ilipopanda daraja mwaka jana amekataa kuongeza mkataba mwingine wa kuendelea kuinoa klabu hiyo. Huku...
Uhamisho

PSG wajitosa kusaka saini ya mkongwe Buffon!

Mlinda mlango mkongwe wa Juventus na timu ya Taifa ya Italia Gianluigi Buffon amehusishwa na kujiunga na klabu ya soka ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa. Kwa mujibu wa mtandao wa habari za michezo wa Sky ni kuwa Kipa huyo mwenye umri wa miaka 40 baada ya kuondoka Juventus anaweza kujiunga...
EPLUhamisho

Mkali wa mabao, akubali kutua Manchester United

Klabu ya Manchester United inakaribia kumsajili kiungo mshambuliaji raia wa Brazil, Anderson Talisca katika majira haya ya joto, jarida la Sportwitness la Uturuki limeripoti. Kiungo huyo wa Benfica ya Ureno yupo nchini Uturuki kwa mkopo katika katika klabu ya kandanda ya Besitkas Kwa misimu miwili sasa. Taarifa zinasema Kocha wa...
Uhamisho

Mghana afanya maamuzi magumu Azam FC

Mshambuliaji raia wa Ghana, Bernard Althur, amevunja mkataba wake na klabu ya Azam FC ya jijini Dar es salaam baada ya kuitumikia kwa nusu msimu tu Althur ambaye Ghana alikuwa akiitumikia klabu ya Liberty Professionals, amevunja mkataba na timu hiyo ya Dar es salaam kwa kile kilichoelezwa kutopewa muda wa...
Ligi KuuUhamisho

Ukiwataka nyota hawa 10 wa VPL ni bure kabisa!!

Ligi Kuu Bara inaelekea mwisho huku SimbaSc wakiwa katika nafasi nzuri ya kunyakua ubingwa. Achana na ligi kuelekea mwishoni, ligi nyingine ya usajili inatarajiwa kuanza hivi karibuni. Ubabe wa pesa, nguvu ya ushawishi na kukomoana vinatarajiwa kuanza tena kuelekea usajili wa wachezaji kwaajili ya msimu ujao wa ligi yaani 2018/2019!...
Uhamisho

Simba na Yanga Kumgombea kiungo wa Azam

Kiungo wa Timu ya taifa ya Zanzibar aliepo kwa mkopo Singida utd akitokea Azam fc Mudathir Yahya mkataba wake umefikia tamati na matajiri wa jiji Azamfc ulioisha tangu mwezi November mwaka jana. Afisa habari wa Azamfc Japhar Idd  amethibitisha kua mchezaji huyo amemaliza mkataba nao, hivyo yupo huru kusaini mkataba...
Uhamisho

Mjerumani kurithi mikoba ya Wenger

Meneja wa zamani wa klabu ya Borussia Dortmund Thomas Tuchel, amejitokeza hadharani baada ya kusema kwamba yupo tayari kuchukua nafasi ya kocha wa Arsenal, Arsene Wenger pindi akiachana na timu hiyo. Ripoti kamili inaeleza kwamba kocha huyo wa zamani wa Dortmund, amepeleka ombi lake la kuhitaji kuifundisha Arsenal wakati ambapo...
Uhamisho

Kun Aguero kuimwaga Manchester City

NYOTA wa Manchester City Sergio Kun Aguero, ameeleza kwamba ataondoka klabuni hapo mwaka 2020 na kurejea kunako klabu ya nyumbani kwao. Aguero mwenye miaka 29, amebakiza misimu miwili tu kutimka katika Ligi kuu ya England. Muargentina huyo amesema atarejea kunako timu ya Independiente, ambapo ndio ilimtoa kabla ya kujiunga na...
1 18 19 20 21 22
Page 20 of 22