Mancini alaani vitendo vya kibaguzi kwenye soka.
Kocha wa timu ya Taifa ya Italy Roberto Mancini amesema kitendo cha ubaguzi alichofanyiwa mshambuliaji kinda wa Juventus Moise Kean sio cha kuvumiliwa hata kidogo. Mancini amesema adhabu kali na nzito inatakiwa kutolewa kwa mashabiki wa Cagliari ili kuzia tukio kama hilo ambalo limetokea kwa mara ya tatu ndani ya...