Dismas Ten aomba radhi, adai akaunti ilidukuliwa!
Msemaji wa klabu kongwe nchini Dar Young Africans, Dismas Ten amewaomba radhi watanzania kutokana na kile kilichokuwa kikiwekwa kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Instagram. Ten ambaye kwa majuma kadhaa sasa amekuwa akiweka taarifa za kuwaponda watani zake Simba SC kwenye ukurasa wake huo, ameonesha uungwana kwa kuwaomba...