Hata hivyo, kwa kuongezwa kwa Kombe la Dunia la FIFA kutoka timu 32 hadi 48, CAF itapata nafasi tisa, pamoja na taifa la ziada linaweza kufuzu kupitia Mashindano ya FIFA Play-Off
JKT Queens ambao wamechukua ubingwa bila kupoteza mchezo hata mmoja sasa watahamishia nguvu zao katika michuano ya kanda ya Cecafa ili kupata mwakilishi ambae atakwenda kuiwakilisha kanda hii katika michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Chanzo hicho pia kilisema si tu Fiston anahitajika Afrika Kusini lakini pia kuna baadhi ya timu kutoka nchi za Kiarabu zimeonyesha nia ya kumtaka nyota huyo
Lakini pia ndio timu pekee kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) iliyofika mbali na kufanya vyema katika michuano hiyo yapili kwa ukubwa katika ngazi ya klabu msimu huu.
Kocha huyo alibainisha zaidi kuwa walikuwa na wachezaji wachache muhimu ambao walikosa mchezo wa mkondo wa kwanza. Hii ilitokana na majeraha na anaamini kikosi chake kitaongezewa nguvu na wachezaji hao