
Klabu ya JKT Tanzania imemfukuza kazi aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo , kocha Bakari Shime “Mchawi mweusi”.
Kocha huyo ambaye aliipandisha timu kutoka ligi daraja la kwanza mpaka ligi kuu msimu huu amefukuzwa kazi baada ya timu yake kufungwa goli 6-1 dhidi ya Azam FC.
Matokeo haya yamechangia kwa kiasi kikubwa kwa uongozi wa JKT Tanzania kumfukuza kazi Bakari Shime.
Bakari Shime ” Mchawi Mweusi” amewahi pia kuwa benchi la ufundi la timu ya soka ya vijana iliyo chini ya umri wa miaka 17 Serengeti Boys, msimu Jana kwenye michuano ya Afcon iliyofanyika nchini Gabon.
Unaweza soma hizi pia..
Azam kujimaliza yenyewe mbele ya Simba!
Miongoni mwa maeneo yatakayopa ushindi Simba katika mchezo huo ni eneo la kiungo na eneo la mlinda mlango.
Kola tishio jipya kwa Onyango na Inonga
Hazikupita siku nyingi Mayele akakutana na Simba na kutiwa mfukoni na Mcongo mwenzake Inonga Baka na kupeleka kuzima mtetemo wake
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?