Ligi KuuNamungo Fc 1- 1 Yanga, Tunalipwa keshoAbdul Mkeyenge16/03/2020Matokeo fair kwa kila timu kwa jinsi zilivyocheza, japo mapungufu ya kiamuzi yameufanya mchezo umalizike kwa sare.
BlogKotei, Morrison na sura ya soka letuAbdul Mkeyenge30/01/2020kama timu zetu zitaendelea kuwakimbilia wachezaji walioachwa Chief, Pirates, Mazembe tujue wazi tuna safari ndefu kufika ziliko TP Mazembe, Al Ahly na wababe wengine.
Ligi KuuKagere yuko kama hayukoAbdul Mkeyenge26/01/2020Msimu huu yuko hovyo kiasi, makali yake yamepungua, lakini kuna sababu tatu zinazofanya tumuone Kagere wa namna hii.
BlogUncle alijiandaa kushindwa, wacha ashindweAbdul Mkeyenge25/12/2019UNCLE Mrisho Ngassa siku hizi anashinda mitandaoni kulalamika kuhusu madeni yake na Yanga. Analalamika sana mpaka anatia huruma.
Ligi KuuMzamiru wa Mtibwa Sugar katika jezi za SimbaAbdul Mkeyenge13/11/2019Umeugundua mchango na umuhimu wa Mzamiru katika kikosi cha Simba? Mkeyenge anaangazia pia.
BlogMoro Lamine wa juzi, jana na leoAbdul Mkeyenge31/08/2019Kama Simba wasingekuwa na miluzi mingi kwake inawezekana ndio angekuwa muarobaini wao katika ulinzi hivi sasa. Tena wangempata kiunafuu.
BlogTshabalala, Gadiel katika vita inayoumizaAbdul Mkeyenge21/08/2019Wanaweza wakawa wanacheza namba moja, lakini wanatofautiana katika namna ya uchezaji wao hasa wakati wa mashambulizi.
BlogYanga inahitaji ubora, haihitaji kinywa cha ‘Manara wao’Abdul Mkeyenge14/08/2019Tujiulize kitu. Dismas hawezi kuwaita mashabiki kuja kiwanjani, mtu gani wa Yanga au nje ya Yanga anayeweza kuwaita mashabiki? Mshindo Msolla? Frederick Mwakalebela? Mzee Akilimali? Jimmy Kindoki? Mbwiga Mbwiguke? Masau Bwire?
BlogKibabage ameenda, Chilunda amerudiAbdul Mkeyenge18/07/2019Mwisho wa yote namkaribishaa Chilunda nyumbani. Karibu kaka. Karibu sana. Sihitaji kukwambia kuhusu Dar es Salaam ilivyo. Najua unaijua sana.
BlogKaseja kakataa kuwa Kaseke, akakataa kuwa Singano, akabaki kuwa KasejaAbdul Mkeyenge19/06/2019Sitaki kutaka maji mengi ya watu. Jikumbushe kuhusu Said Bahanuzi. Nani anajua aliko? Binafsi sijui kama kaacha soka au anafanya kazi gani.