Ligi

Habari za Ligi Kuu maarufu Duniani Ligi Kuu (Premier League) hivyo hapa tunakuletea mkusanyiko wa uchambuzi na matukio yanayohusu Ligi Kuu pekee pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara (Ligi Kuu)

EPL

Ubingwa tumuachie Manchester City

Jana kulikuwa na mechi ya Manchester Derby, mechi ambayo ilikuwa inawakutanisha mahasimu wawili ambao msimu huu wanaonekana kama timu ambazo zinauwezo wa kuwa bingwa. Manchester City walifanikiwa kuvunja rekodi ya Manchester United ya kucheza michezo 41 bila kufungwa katika uwanja wao wa nyumbani, na kufanya washinde mechi 8 zote walizocheza...
EPL

Nani atamvunjia rekodi mwenzake?

Leo kuna mechi ambayo inashika hisia za watu wengi wapenda mpira duniani. Mechi hii inakutanisha timu ambazo zinaonekana bora kwa sasa katika ligi kuu ya England, na ndizo timu ambazo zinaongoza mbio za ubingwa wa ligi kuu ya England. Manchester City akiwa anaongoza kwa tofauti ya alama nane dhidi ya...
Ligi Kuu

Mkwasa tusaidie ukweli wa Ngoma

KELELE za Donald Ngoma zimekuwa nyingi mitaa ya Jangwani. Dakika moja mwanachama huyu anazungumza hivi, dakika nyingine mwanachama yule anazungumza vile. Ngoma ndio ajenda kuu kwenye mazungumzo ya Yanga wakati huu. Kalamu yangu inayomalizia saa chache huku fungate nayo imeshitushwa na Ngoma. Mjadala wake umetikisa hadi makundi ya WhatsApp niliyoko....
Ligi

‘Nimemdhulumu mzee yule kwa toto hili’

SHABIKI mwandamizi wa Ajax Amsterdam, Mart Van Hoidonk mwaka 1996, alitoka uwanjani mpira ukiwa mapumziko na kuamua kurudi nyumbani. Rafiki yake aliyekuwa nyumbani alimshangaa Hoidonk aliyemuaga anakwenda uwanjani kutazama mpira, akirudi kabla mpira wenyewe kumalizika. Hoidonk kwa sauti yake ya chini alimwambia rafikiye kuwa asimshangae kurudi kabla ya mpira kumalizika...
Ligi

Prisons waliingia wakiwa wanahitaji alama mechi ya jana.

Njia ipi waliitumia Prisons kushambulia? Walipokuwa katika robo yao ya uwanja walokuwa wanamiliki mpira kwa kupiga pasi huku wakispgea mbele. Walipokuwa wanafika karibu na nusu ya uwanja walikuwa wanapiga mipira mirefu ya moja kwa moja kwa washambuliaji wao. Walijua washambuliaji wao walikuwa na kasi kubwa sana ukilinganisha na mabeki wa...
Ligi Kuu

Mtazamo wangu Ligi Kuu- VPL.

Kulikuwa na dalili za Mbaraka Yusufu mshambuliaji wa Kagera Sugar kuibuka mchezaji bora wa ligi kuu msimu huu wa 2016-17 lakini kadi nyekundu mechi ya juzi na Yanga SC inamtoa katika kinyang'anyiro hicho . Suala la nidhamu huenda likachafua mbio hizo. Namuona Haruna Niyonzima kurudi kwenye tuzo za mchezaji bora...
1 116 117 118
Page 118 of 118