Blog

Pilato wa mechi ya Uganda na Taifa Stars awekwa wazi.

Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) limewateua waamuzi kutoka nchini Gabon kuamua pambano la kundi L la kufuzu kwa michuano ya Mataifa Afrika mwakani kati ya Uganda 'The Cranes' na Tanzania 'Taifa Stars'. Mwamuzi wa kati katika pambano hilo atakuwa, Eric Arnaud Otogo Castane ambaye atasaidiwa na Mwamuzi Moussounda Montel...
Blog

Wanyama, Mariga waenguliwa, Stars wakijiandaa kuwavaa Ghana

Kocha wa timu ya Taifa ya Kenya ‘Harambee Stars’ Sebastien Migne amewaengua ndugu wawili Victor Wanyama na McDonald Mariga katika majina ya mwisho ya kikosi cha timu kuelekea katika mchezo wao wa kundi F kuwania kufuzu kwa michuano ya Afrika dhidi ya Ghana kwa sababu mbalimbali. Migne amemuondoa Wanyama kutokana...
Blog

Taifa Stars kuifuata Uganda Alhamis

Kikosi cha timu ya Soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinaendelea kujichua jijini Dar es salaam kwa ajili ya mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Afrika (AFCON 2019) dhidi ya Uganda utakaochezwa mwishoni mwa juma hili jijini Kampala. Stars imeweka kambi jijini Dar es Salaam chini ya kocha mpya...
Blog

Friends Rangers kuweka kambi mjini Lushoto

Kiongozi wa klabu ya Friends Rangers inayoshiriki ligi daraja la kwanza Tanzania Bara, Henry Mzozo amesema wanatarajia kuweka kambi wilayani Lushoto mkoani Tanga kabla ya mchezo wao wa kwanza ligi hiyo. Mzozo amesema kambi hiyo inatarajia kuanza Septemba 10 na wakiwa huko watacheza mechi kadhaa za kirafiki kabla ya kuanza...
Ligi

Kumbe Aussems hana noma yoyote na Masoud!

Kocha mkuu wa wekundu wa msimbazi Patrick Aussems ameshindwa kuweka wazi kuhusu taarifa ya ugomvi wake na kocha msaidizi Masoud Djuma hadi kufikia kushinikiza kuomba kocha huyo aondolewe kwenye kikosi chake. Aussems amesema hana taarifa zozote za ugomvi huo kwani kama zimekuwa zikiandikwa kwenye mitandao ya kijamii na magazeti nchini...
La Liga

Rais wa Real Betis ajitabiria kuwa klabu kubwa Hispania.

Rais wa Klabu ya Real Betis, Angel Haro, amesema anaamini klabu hiyo ni miongoni mwa klabu zinazokuwa kwa haraka na kwamba wameshaanza kutambua nafasi yao kama klabu inakua kwa kasi. Angel Haro ameyasema hayo baada ya klabu hiyo maarufu kama Los Verdiblancos kuwafunga Sevilla bao 1-0 kupitia kwa Joaquin Sanchez...
Ligi Kuu

Ngoma kuanza kugawa dozi hizi karibuni.

Mshambuliaji wa wanarambaramba Azam FC Mzimbabwe Donald Ngoma anatarajiwa kurejea dimbani hivi karibuni licha ya taarifa ya klabu hiyo kuthibitisha kuwa bado mchezaji huyo hajaanza mazoezi na wenzake. Kwa mujibu wa afisa habari wa Azam FC Jaffary Idd Maganga ni kwamba mchezaji huyo ambaye amejiunga mwezi Juni akitokea Yanga, bado...
Ligi

Kagera Sugar: Matokeo sio mabaya sana

Uongozi wa klabu ya soka ya Kagera Sugar ‘Wanankurukumbi’ umesema umeridhika na mwenendo wa ligi ikiwa tayari imekwisha kucheza michezo miwili mpaka hivi sasa na kukusanya alama nne. Katibu mkuu wa Klabu hiyo Hussein Madaki amesema matokeo ya kushinda mchezo mmoja na kutoka sare mmoja siyo mabaya sana na kocha...
Ligi Kuu

Nswanzurimo: Tumecheza na mabingwa, matokeo yasiwaumize

Kocha wa timu ya soka ya Mbeya City ya jijini Mbeya ‘wanakomakumwanya’ Ramadhan Nswanzurimo amewatoa hofu wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa wasijisikie vibaya kutoka vichapo vitatu mfululizo vya ligi kuu soka Tanzania Bara. Nswanzurimo amesema mpaka sasa Mbeya City ndio timu pekee ambayo imecheza na Bingwa na kaimu...
Ligi Kuu

Uhuru Suleiman, Muivory Coast waiponza Biashara United

Kocha mkuu wa Biashara United ya mkoani Mara Hitimana Thiery ameitaja safu yake ya ushambuliaji kuwa ndio chanzo cha kupoteza katika mchezo wa ligi dhidi ya Stand United, kwani mbali na kukosa nafasi nyingi za wazi lakini pia waliwakosa wachezaji tegemeo katika eneo hilo. Akizungumza na mtandao huu, Hitimana amesema...
1 26 27 28 29 30 34
Page 28 of 34