Baxter amjumuisha mwanae katika kikosi cha Bafana Bafana
Kocha wa timu ya Taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’ Stuart Baxter amemtangaza mwanae Lee Baxter kuwa kocha wa makipa wa kikosi hicho wakati ambapo wakijiandaa na mchezo wa kufuzu kwenye fainali za Mataifa Afrika dhidi ya Libya Jumamosi hii mjini Durban. Lee Baxter ambaye ni kocha wa magolikipa wa...