Ligi Kuu

Azam waingia vita ya kumnasa Salamba, Lipuli wathibitisha

Klabu ya soka ya Lipuli imethibitisha kupokea barua kutoka katika vilabu viwili vikubwa vya Young Africans na Azam FC za kumuhitaji mshambuliaji wao kinda Adam Salamba. Lipuli ambao hapo jana walikanusha kupokea barua kutoka Yanga, wamethibitisha kupokea barua kutoka katika miamba hiyo ya soka nchini na kuongeza kuwa mbali na...
Ligi Kuu

Lipuli: Bado tunamipango na Adam Salamba

Uongozi wa klabu ya soka ya Lipuli ‘Wanapaluhengo’ umekanusha taarifa za kupokea maombi kutoka katika klabu ya Dar Young Africans ya kutaka kumsajili mshambuliaji wao kinda Adam Salamba. Lipuli kupitia kwa Msemaji wao Clement Sanga wameiambia Kandanda.co.tz kuwa huo ni uvumi wa mitandao ya kijamii na kwamba Salamba bado ni...
Kombe la Dunia

Vitendo vya ubaguzi vyaiponza Urusi.

Shirikisho la soka Ulimwenguni (FIFA) limeipiga faini ya zaidi shilingi Milioni 68 Shirikisho la Soka la Russia kutokana na mashabiki wa timu ya Taifa ya Russia kuonesha vitendo vya ubaguzi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Ufaransa mwezi Machi mwaka huu. Katika mchezo huo ambao Ufaransa walishinda kwa mabao 3-1,...
Ligi Kuu

Azam waipigia mazoezi magumu Majimaji

Kikosi cha wanarambaramba Azam FC jioni ya leo kimefanya mazoezi yake ya kwanza toka walipotoka kupokea kichapo cha mabao 2-1 kutoka kwa wapiga debe Stand United siku ya Jumapili katika mfululizo wa ligi kuu soka Tanzania Bara. Azam ambao wamerejea jana wakitoka Mkoani Shinyanga wameanza mazoezi hayo wakiwa katika maandalizi...
Blog

Michuano ya CECAFA kwa wanawake yaahirishwa tena.

Michuano ya wanawake kwa nchi wanachama wa Baraza la vyama vya michezo ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (CECAFA Women Championship) iliyotakiwa kufanyika kuanzia Mei 12 hadi Mei 22 mwaka huu yameahirishwa. Katika taarifa iliyotolewa na Shirikisho la soka la Rwanda (FERWAFA) imeeleza kuwa sababu kubwa ya kuahirishwa tena kwa...
1 32 33 34
Page 34 of 34