
Vinara wa ligi kuu soka Tanzania bara Simba sc, imemteua mshambuliaji wake John Bocco kuwa nahodha mpya wa kikosi cha wekundu hao wa msimbazi, Bocco anachukuwa nafasi iliyoachwa wazi na Method Mwanjale ambaye alitemwa katika usajili wa dirisha dogo

- Name
- John R. Bocco
- Utaifa
- Tanzania
- Nafasi
- Mshambuliaji
- Urefu
- 183cm
- Sasa
- Simba SC
Klabu Bingwa Afrika Kundi D
Msimu | Timu | ![]() | ![]() | |||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2018-2019 | Simba SC | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
Jumla | - | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
TPL
Msimu | Timu | ![]() | ![]() | |||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2008-2009 | Azam FC | 1 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2009-2010 | Azam FC | 14 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2010-2011 | Azam FC | 12 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2011-2012 | Azam FC | 19 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2012-2013 | Azam FC | 7 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2013-2014 | Azam FC | 7 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2014-2015 | Azam FC | 2 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2015-2016 | Azam FC | 12 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2016-2017 | Azam FC | 10 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2017-2018 | Simba SC | 14 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
2018-2019 | Simba SC | 16 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 1 |
2019-2020 | Simba SC | 9 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 |
Jumla | - | 123 | 0 | 0 | 0 | 0 | 0 | 1 |
Taarifa ya klabu hiyo imesema kuwa, hatua ya kumpa unahodha John Bocco ni maamuzi ya benchi la ufundi linaloongozwa na kocha Masoud Djouma huku yakipata baraka kutoka kwenye uongozi wa juu wa klabu hiyo pamoja na Bocco, pia mlinzi wa pembeni wa kikosi hicho Mohammed Hussein “Tshabalala” yeye atakuwa nahodha msaidizi
Unaweza soma hizi pia..
Moto wawaponza Simba CAF.
Simba iatapaswa kulipa pesa hizi ndani ya siku 60 tangu kutoka kwa hukumu hiyo, lakini pia wana siku tatu za kukataa rufaa.
Mbinu mpya za Yanga zilizoacha lawama kwa kipa wa Dodoma Jiji
Nasredeen Nabi ilimlazimu kutoka katika mfumo wake wa siku zote wa kumtegemea Fiston Mayele na kubadili mbinu ili kupata ushindi.
Simba na Yanga kukutana tena mwezi huu.
Ratiba ya kombe la Azamsports Federation Cup imetolewa leo na Shirikisho la Soka nchini TFF huku pia wakitaja na viwanja vitakavyotumika katika michezo hiyo ya nusu fainali.
Kipa Dodoma katolewa tuu kafara!
Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?