Ligi Kuu

Mtibwa Sugar waifuata Tanzania Prisons.

Afisa habari wa Mtibwa Sugar Thobias Kifaru Ligalambwike amesema msafara umeondoka ukiwa na matumaini makubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo, ukizingatia mchezo uliopita waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Azam FC.
Ligi Kuu

Mbao: Tunaimani kubwa na Ally Bushiri.

Klabu ya soka ya Mbao ‘Wabishi’ umewatoa hofu baadhi ya mashabiki wa timu hiyo, wenye wasiwasi na uwezo wa kocha Ally Bushiri kuwa wanaimani kubwa na kocha huyo kuwa ataleta mafanikio yaliyoachwa na makocha Ettiene Ndayiragije na Amri Said. Msemaji wa klabu hiyo Clisant Malinzi amesema wameuona uwezo wa kocha...
Ligi Kuu

Wanayanga mkoani Simiyu wajitabiria ubingwa wa TPL.

Mashabiki wa Timu ya soka ya Yanga kutoka Tawi la Meatu lililopo wilayani Meatu Mkoani Simiyu wamesema licha ya baadhi ya Mashabiki kutoka timu pinzani kuwabeza kuwa ni ombaomba wanaamini kikosi hicho kilichopo chini ya kocha raia wa kongo Mwinyi Zahera kitachukua ubingwa wa ligi kuu bara msimu wa Mwaka 2018/19.
Ligi Kuu

Zahera atoboa siri ya Yanga kufanya vizuri TPL.

Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema shida ambazo klabu hiyo imekumbana nazo ndizo zimewapa morali ya kupambana na kupata matokeo chanya kwenye michezo ya ligi mpaka sasa. Zahera amesema wakiwa kambini mkoani Morogoro kabla ya kuanza kwa ligi alikaa na wachezaji wake na kuwaomba kuungana na kuwa wamoja lakini...
Mapinduzi Cup

Simba kupeleka kikosi kamili Mapinduzi Cup.

Klabu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imethibitisha kushiriki mashindano ya Mapinduzi Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari Mosi mwaka huu kwa kupeleka kikosi kamili. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara amesema watapeleka kikosi kamili na watayatumia mashindano hayo kama sehemuya...
1 10 11 12 13 14 34
Page 12 of 34