Yahya anakuwa mchezaji wa pili ndani ya muda mfupi kutoka Azam kujiunga na timu za nchini Misri baada ya kiungo Himid Mao kujiunga na Petrojet mwaka jana,
Rishald ameongeza kuwa nafasi kubwa ya kuonesha nia ya kutaka kubaki ipo kwenye mchezo wa Jumanne hii dhidi ya Mtibwa Sugar utakaofanyika kwenye uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Mourinho ambaye alianzia kazi ya Umeneja kwenye klabu hiyo ya Ureno kwa kuiongoza michezo 11 na kushinda michezo sita alikuwa akitajwa zaidi na vyombo vya habari vya Ureno kurithi nafasi hiyo
Afisa habari wa Mtibwa Sugar Thobias Kifaru Ligalambwike amesema msafara umeondoka ukiwa na matumaini makubwa ya kuibuka na ushindi katika mchezo huo, ukizingatia mchezo uliopita waliibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Azam FC.
Katika mchezo huu Mbao wametuzidi kwenye eneo la kiungo, walikuwa bora zaidi na ndio maana walituzidi sana kwenye mchezo wa leo, niwape sifa kwa kuwa walikuwa bora kimbinu,
Klabu ya soka ya Mbao ‘Wabishi’ umewatoa hofu baadhi ya mashabiki wa timu hiyo, wenye wasiwasi na uwezo wa kocha Ally Bushiri kuwa wanaimani kubwa na kocha huyo kuwa ataleta mafanikio yaliyoachwa na makocha Ettiene Ndayiragije na Amri Said. Msemaji wa klabu hiyo Clisant Malinzi amesema wameuona uwezo wa kocha...
Msemaji wa klabu ya soka ya Mbao ‘Wabishi’ Clisant Malinzi ameutaja mchezo wa Jumamosi hii wa ligi kuu soka Tanzania Bara baina yao na Alliance FC kama dabi ya pili kwa ukubwa Tanzania Bara ukitoa mchezo wa Simba na Yanga. Malinzi amesema kwa kuwa Mwanza ni jiji la pili kwa...
Mashabiki wa Timu ya soka ya Yanga kutoka Tawi la Meatu lililopo wilayani Meatu Mkoani Simiyu wamesema licha ya baadhi ya Mashabiki kutoka timu pinzani kuwabeza kuwa ni ombaomba wanaamini kikosi hicho kilichopo chini ya kocha raia wa kongo Mwinyi Zahera kitachukua ubingwa wa ligi kuu bara msimu wa Mwaka 2018/19.
Kocha mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema shida ambazo klabu hiyo imekumbana nazo ndizo zimewapa morali ya kupambana na kupata matokeo chanya kwenye michezo ya ligi mpaka sasa. Zahera amesema wakiwa kambini mkoani Morogoro kabla ya kuanza kwa ligi alikaa na wachezaji wake na kuwaomba kuungana na kuwa wamoja lakini...
Klabu ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imethibitisha kushiriki mashindano ya Mapinduzi Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Januari Mosi mwaka huu kwa kupeleka kikosi kamili. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari, Msemaji wa klabu hiyo Haji Manara amesema watapeleka kikosi kamili na watayatumia mashindano hayo kama sehemuya...