Kisa Bigirimana Blaise, Stand United wazitaka point tatu za Alliance.
Uongozi wa klabu ya soka ya Stand United umelitaka Shirikisho la Kandanda nchini kupitia Bodi ya ligi kuwapatia alama tatu baada ya Alliance kumtumia Bigirimana Blaise kwenye mchezo wao wa ligi siku ya Ijumaa wakati akiwa bado na mkataba na wapiga debe hao. Mwenyekiti Stand United Ellyson Maeja amesema Alliance...