Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Yanga walikuwa katika miji ya Arusha na Moshi kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya awali ya marudio dhidi ya Township Rollers ambapo ilicheza mechi mbili.
Kandanda haijakuacha nyuma pia, kama ilivyo utaratibu wetu tutaendelea kukuletea ratiba, matokeo bila kusahau wafungaji bora wa kila mwezi wa Ligi Kuu.