Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Mshambuliaji ambaye alimpendekeza yeye kama yeye kwa kuamini katika miguu yake. Lakini kadri muda unavyozidi kwenda hakuna cha kutisha kwenye miguu mizito ya David Molinga.