Ligi KuuTunachohitaji ni ubingwa kwa haraka zaidi- Patrick Aussems.Martin Kiyumbi5 years agoHarakati za Simba kumaliza viporo vyake katika kanda ya Ziwa inaendelea tena leo baada ya kucheza mechi tatu katika ƙanda hiyo.
BlogNiyonzima yupo ‘On fire’!Martin Kiyumbi5 years agoNiyonzima ameonekana kuwa na kiwango kizuri baada ya kuwa anaanza katika kikosi cha Simba.
Ligi KuuHaji Manara alikuwa sahihi kwenda na TV kwenye PressMartin Kiyumbi5 years agoUnakumbuka tukio la Haji Manara kwenda na TV kwenye mkutano wa waandishi wa habari(press conference?)
BlogKuna siku MUNGU atawapora Yanga utajiri wa mashabikiMartin Kiyumbi5 years agoHawa mashabiki wanaojitolea kwenye kila hali ndiyo wana pesa zetu. Yajengwe mazingira mazuri ya kuwashawishi watoe pesa zao mfuƙoni kwa wingi.
BlogMasoud Djuma afukuzwa Kazi RwandaMartin Kiyumbi5 years agoMasoud Djuma alikuwa kipenzi kikubwa sana katika kikosi cha Simba kabla ya kuachana na Simba
Ligi KuuSimba ni bora kuzidi sisi AllianceMartin Kiyumbi5 years agoUkitazama mchezaji mmoja mmoja Simba wana wachezaji ambao ni bora kuzidi Alliance.
Ligi KuuYanga yaachana rasmi na Beno KakolanyaMartin Kiyumbi5 years agoSintofahamu hiyo ilianza baada ya Beno Kakolanya kugoma kushinikiza madai ambayo alikuwa anawadai Yanga
Ligi KuuSimba kapotea njia lazima adhibitiwe KirumbaMartin Kiyumbi5 years agoTumejifunza na tunataka kuwaonesha Simba kwa sasa uwanja huu na tutafanya vizuri kwenye mechi hii inabidi wajiandae.
Mataifa Afrika U17Watanzania wanatakiwa kuwa wavumilivu- Ammy NinjeMartin Kiyumbi5 years agoHili ni eneo ambalo Ammy Ninje ameahidi kulifanyia Kazi. Watahakikisha kuwa wanawekeza kuangalia vipaji bora ili viwepo kwenye timu.
BlogKatumbi arejea TP MazembeMartin Kiyumbi5 years agoKatumbi amerejea katika nafasi yake ya urais wa klabu hiyo baada ya kuishi uhamishoni kwa miaka.