Martin Kiyumbi

Mchambuzi
Mchambuzi wa mpira wa miguu, mwenye Shahada ya Ualimu. Martin amejiunga na timu ya kandanda toka mwaka 2017, moja kati ya wachambuzi wakongwe katika familia yetu.
Mabingwa Afrika

Paschal Wawa kuwakosa TP Mazembe.

Simba inaondoka leo hii kuelekea Lubumbashi nchini Congo ƙkwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya TP Mazembe. Kwa mujibu wa Meneja wa timu hiyo Patrick Lweyumamu amedai kuwa msafara wa Simba utaondoka na ndege maalumu ya kukodi. Pascal Wawa akiwa anasikilizia maumivu dakika kadhaa tu baada ya mchezo kuanza....
1 41 42 43 44 45 79
Page 43 of 79