Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuandika na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Bwalya amejiunga na Simba akitokea kwao Zambia katika klabu ya Lusaka Dynamos, ambapo inasemekana Simba waliwapokonya wenzao Yanga tonge mdomoni kutokana na Yanga pia walimuweka kwenye mipango yao ya usajili katika msimu huu.
Baada ya mchezo wa Ngao ya Jamii uliopigwa siku ya Jumapili jijini Arusha kuashiria kuanza kwa Ligi Kuu Bara sasa ni rasmi Ligi hiyo inarejea rasmi September 6 Jumapili. Tazama hapa wababe 18 wakaokwenda kunyeshana ubabe katika msimu wa 2020/2021 ambapo Simba sc ndie bingwa mtetezi wa kombe hilo. Nicholaus...
Baada ya kumalizika kwa mchezo wa Ngao ya Jamii jijini Arusha kikosi chote cha Simba kilipanda ndege kurudi Dar halafu wakaunganisha ndege kwenda Mbeya ili kuiwahi Ihefu.
Kwa kikosi hiki unaona kabisa kazi kubwa inabaki kwa mwalimu Zlatiko na msaidizi wake Mwambusi kuandaa na kutengeneza muunganiko wa wachezaji ili kuleta tija uwanjani
Tafadhali tumia viungo rasmi kusambaza habari zetu. Facebook, Twitter au Barua Pepe. Kama utataka kutumia habari zetu tuandikie kupitia habari@kandanda.co.tz