Kocha Yanga: Ratiba ni Ngumu Lakini Tutafikia Malengo
Kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga na Kagera Sugar kocha na kiungo wa timy hiyo wametema cheche walipokua wakiongelea mchezo huo mbele ya Waandishi wa habari Denis Nkane aliyeongea kwa niaba ya wachezaji wenzake amesema malengo yao yapo palepale yakutwaa ubingwa na wapo tayari kufanya vyema...