Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Luc Aymeal amekiri Yikpe alikua mchezaji mzuri alipokua Gor Mahia lakini haelewi ni kipi kimemkuta nyota huyu mwenye mwili jumba mpaka kushindwa kutamba akiwa na Yanga
Michezo yote 92 iliyobaki itatangazwa moja kwa moja, na mechi nne kuonyeshwa na kituo cha BBC mara ya kwanza kufanywa kuwa bure kwanda hewani kwenye TV