Thomas Mselemu, Mtaalamu wetu wa masuala ya masoko mwenye ujuzi wa kuchambua kandanda na kupiga picha pia, anaifanya familia ionekane familia. Kipaji chake na elimu anaitumia vyema kuiweka tovuti katika malengo yake.
Michezo mitano ilipigwa jana katika viwanja mbalimbali nchini katika muendelezo wa Ligi Kuu Bara huku mshambuliaji wa Biashara United akiingia katika vitabu vya rekodi msimu huu.
Tumejiandaa vizuri kwa ajili ya mechi zote zilizobaki kwenye Ligi sio tu mechi ya Yanga, isipokuwa mechi na Yanga ni muhimu sana kwetu kutokana na nafasi na alama zetu kati yetu