Mechi ya hisani kati ya nahodha wa timu ya Taifa Mbwana Samata na msaani maarufu wa Bongo flava na mchezaji wa Coastal Ally Kiba imepigwa leo katika uwanja wa Taifa na team Samata kuibuka wababe!
Kutokushinda tunzo ni jambo lingine, lakini kitendo tu cha kumudu kuwepo katika orodha ya viungo watatu bora wa klabu yake msimu uliopita ni ishara njema zaidi kwake kama ataendelea kujituma na kufuata maelekezo ya walimu wake.
Klabu ya Simba SC iliwatunikia wachezaji wake tuzo mbalimbali usiku uliopita ikiwa ni muendelezo wa tuzo hizo zilizoanza kutolewa msimu uliopita chini ya mwekezaji mkuu wa klabu hiyo-tajiri, Mohamed Dewji ‘MO’.