Kandanda Day 2017 yakabidhi zawadi kwa washindi siku ya Uhuru.
Kamati ya maandalizi ya Kandanda Day 2017, tamasha la mpira wa miguu linalofanyika kila mwaka mwezi wa kumi, limekabidhi zawadi ya jezi kwa klabu ya wachezaji wenye umri chini ya miaka 13 ya Bombom FC. Bombom FC waliibuka mabingwa katika mchezo wao uliofanyika tarehe 22/10/2017 katika viwanja vya chuo kikuu...