Kama ningeulizwa ya Mtibwa Sugar FC ilipaswa kuwa timu ya mchezo gani basi jibu langu la moja kwa moja ingekuwa Karata. Hawa ni magwiji wa mchezo ule maaarufu wa karata ' last card' wa kugemua mwisho huku watu wakificha majokers na vimbili'. Misimu mitatu ya mwishoni mambo yao hayaendi vizuri...
Tayari Yanga ameshatangazwa bingwa wa msimu wa 2021/22. Fuatilia msimamo huu live wakati mechi zikiendelea. Nitakuwa nakuletea dondoo zangu hapa katika sehemu ya maoni. ...