Tetesi

Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.

Tetesi

Yanga yamtaka kiungo mkali zaidi ya Chama!

Inawezekana siku za hivi karibuni ligi kuu ya Tanzania bara itarudi tena baada ya kusimama kwa muda mrefu. Matumaini hayo yamekuja mara baada ya raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Pombe Magufuli kutoa matumaini hayo. John Kombe Magufuli amedai kuwa kama hali itaendelea kuwa vizuri anafikiria namna ya...
Tetesi

Yanga yamtaka beki mwenye rekodi ya kipekee

  Ligi kuu Tanzania bara mpaka sasa hivi imesimama kutokana na ugonjwa wa Corona. Lakini pamoja na kusimama kwake , mazungumzo ya namna ya kuirudisha ligi hii yanaendelea vizuri. Watu wengi mpaka sasa hivi wanasubiri ni siku gani ambayo ligi hii itarejea tena ili kumpata bingwa wa ligi kuu Tanzania...
Tetesi

GSM na Yanga wakosa hela ya kumsajili Mwamunyeto

Uongozi wa timu ya Coastal Union umesema kwamba mchezaji Bakari Nondo Mwamnyeto ataendelea kuhudumu katika klabu hiyo msimu ujao kwa sababu wameshindwa kupata muafaka kamili na uongozi wa Yanga ambao wameonyesha nia ya kumsajili. _ Mjumbe wa kamati ya utendaji ndani ya klabu hiyo Hussein Ally amesema kwamba Yanga ndio...
Tetesi

Ajib hawezi kuchezea Yanga.

  Misimu miwili yenye mafanikio katika miguu ya Ibrahim Ajib iliwahi kutokea katika mitaa ya jangwani ambapo alifanikiwa kufanya vizuri sana katika klabu ya Yanga. Baada ya kumaliza misimu yake miwili akiwa ndani ya klabu ya Yanga aliamua kurejea tena kwenye klabu yake ya zamani ambayo ni Simba Sc, mahasimu...
Michael Kibwate
Tetesi

Ligi ya Kenya kuna njaa, Simba njooni mnisajili

  Baada ya mtandao huu kuripoti tetesi za beki kisiki wa KCB ya Kenya kutakiwa na Simba SC ya Tanzania kwenye dirisha lijalo la usajili kama sehemu ya kuimarisha kikosi cha mabingwa hao wa Tanzania , beki huyo amezidi kufunga vingi kuhusu yeye pamoja na mpira wa Kenya. Beki huyo...
Tetesi

Beki wa Kenya aitamani Simba

Katika kipindi hiki ambacho timu mbalimbali zinatafuta wachezaji mbalimbali ili kuimarisha vikosi vyao kwa ajili ya msimu ujao , tetesi zimekuwa nyingi sana ambazo zimekuwa zikihusisha wachezaji mbalimbali na vilabu mbalimbali. Moja ya taarifa ambayo inazidi kuenea na habari ya beki wa KCB ya Kenya kutakiwa na klabu ya Simba...
1 8 9 10 11 12 16
Page 10 of 16