Tetesi

Breaking news zote ambazo hazithibitishwa au ni Umbea tu wa mtaani. Ikiangalia masuala yanayohusu mpira wa miguu pekee tu. Kandanda hufanya utafiti kwenye baadhi ya habari hizi na kuzitolea ufafanuzi sahihi.

Tetesi

Kiungo aliyeikataa YANGA, kutua SIMBA leo mchana!

Tangu dirisha dogo la usajili lifunguliwe klabu ya Simba hajitangaza mchezaji yoyote ambaye wamemsajili zaidi ya kuwaona Yanga wakiendelea kusajili kwa tambo. Leo hii msemaji mkuu wa Simba , Haji Manara amedai kuwa kuna wachezaji wawili ambao watawasili katika uwanja wa ndege kwa ajili ya kumalizana na Simba. "Leo hii...
Tetesi

YANGA kumleta Mshambuliaji zaidi ya KAGERE !

Baada ya Yanga kushindwa kumnasa kiungo hatari wa UD Songo Luis Jose Misquissone kutokana na dau kubwa, mchezaji huyo alitaka shilingi milioni 110 za kitanzania kama ada ya uhamisho, Yanga imehamia mashambulizi yake kwa Dickson Ambundo. Mchezaji huyo anayekipiga Gor Mahia kwa sasa amewahi kucheza Alliance FC ya Mwanza msimu...
Tetesi

Kocha mpya Yanga huyu hapa

IO Patrick Aussems tena kama wengi walivyoelekea kuamini mara baada ya taarifa kuibuka kwenye mitandao kuwa mabingwa wa Yanga wako kwenye hatua za mwisho kumuajiri kocha huyo wa zamani wa Simba.
Tetesi

SIMBA yaipindua YANGA, Yamtaka Kiungo wa UD SONGO

Baada ya tetesi ya muda mrefu ya Yanga kutaka kumsajili kiungo wa UD Songo , Luis Jose Misquissone tetesi hizi zinaelekea ukingoni kwa Yanga kushindwa kumsajili mchezaji huyu. Mashabiki wa Yanga kwenye mechi ya Simba vs JS Saoura Imeelezwa kuwa Yanga imeshindwa kumsajili kiungo huyu hatari ambaye aliwasumbua Simba kwenye...
Tetesi

Hassan kessy atemwa na NKANA FC

Baada ya kuanza vizuri kwenye kikosi cha Nkana FC mpaka kufanikiwa kabisa kupenyeza katika kikosi cha kwanza cha Nkana FC mambo yameanza kwenda vibaya kwa beki mahiri wa kulia wa Tanzania , Hassan Kessy. Hassan Kessy kwa sasa amekuwa akihangaika kupata nafasi ya kikosi cha kwanza kama ambavyo alivyokuwa anapata...
1 10 11 12 13 14 16
Page 12 of 16