
Salim Aiyee
Hizi ndizo sababu kuu 3 zisizo na ubishi wowote kuhusu Salimu Aiyee, anayechezea KMC FC msimu huu.
1 Ni mtanzania aliyefunga mabao mengi zaidi kwa mwaka huu (takwimu za Januari – Disemba 2019) Ligi Kuu Tanzania Bara.
Top Scorer of Tanzania 2019
Na. | Mchezaji | |
---|---|---|
1 | ![]() | 45 |
2 | ![]() | 25 |
3 | ![]() | 20 |
4 | ![]() | 19 |
2 Alimaliza msimu uliopita 2018/2019 kama kinara wa magoli kwa wachezaji wa ndani
Na. | Mchezaji | |
---|---|---|
1 | ![]() | 23 |
2 | ![]() | 18 |
3 | ![]() | 17 |
4 | ![]() | 16 |
3 Aliikoa Mwadui isishuke daraja baada ya kuifungia katika hatua ya mtoano, na kuinusuru timu hiyo isishuke daraja.

Unaweza soma hizi pia..
Waandishi wa habari za michezo waigalagaza Unitalent.
Unitalent hawakuishia tuu kufungwa mabao mawili lakini pia waliteseka uwanjani haswa katika eneo la kiungo
Kwanini Boban Hakuyapenda Maisha Ya Ulaya…?
Yumkini Haruna Moshi alishawishiwa kutokukipenda ambacho kingemsaidia maishani. Soma stori hii
Manara: Tunataka kuujaza uwanja Jumamosi!
Msemaji huyo pia ameonyesha ni kwa kiasi gani wamedhamiria kuujaza uwanja huku akitangaza neema kwa mashabiki wa Yanga wataokata tiketi kwenda uwanjani.
Hivi ndivyo tulivyomuua Samatta wetu.
Mimi siyo mpenzi wa mpira wa miguu ila nilisikia Rafiki zake wakimwiita Ronaldinho Gaucho,