Ligi KuuKipa Dodoma katolewa tuu kafara!Tigana Lukinja16/05/2022Ndani ya miaka miwili unataka kuniambia ameisha kabisa? Je hatupaswi kumshukia kocha wake wa makipa?
ASFCKombe la FA: Ni fainali ndani ya fainali.Tigana Lukinja15/05/2022Mchezo wa nusu fainali ni utakua na hadhi, ukubwa na umaarufu kuliko fainali yenyewe kutokana na aina ya wapinzani watakaokutana.
Ligi KuuKaze au Mayele alaumiwe kwa sare hizi mfululizo?Tigana Lukinja10/05/2022Unadhani kuna mpango wa pamoja toka kwa benchi la ufundi na wachezaji labda wakiwemo na viongozi wa kumwandaa na kumtengenezea Mayele.
Ligi KuuPablo anastahili lawama za John BoccoTigana Lukinja09/05/2022John Bocco alifunga goli lake la kwanza katika mchezo dhidi ya Ruvu na kwenda kuungana na yale 7
Ligi KuuSimba dhidi ya Ruvu Na vita ya nafasi katika msimamoTigana Lukinja08/05/2022Kwa upande wa wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club kuna taarifa za chini chini kwamba kuna mahusiano 'dhaifu' kati ya nyota
EPLTottenham na maamuzi ya ubingwa kwa Liverpool!Tigana Lukinja07/05/2022Sababu kubwa ya msingi kwa Spurs kuonekana ni' mfalme' katika mechi 8 zilizobaki kwa pande zote mbili ni ubora wao miongoni mwa timu bora
Mabingwa UlayaMzimu wa Bernabeu unavyowatafuna wapinzani wa Madrid!Tigana Lukinja05/05/2022Hapa ndiyo machinjioni Santiago Bernabeu Yeste hatoki mtu, uwanja pekee unakupa uhakika wa goli hivyo ni juhudi zako tu kulipachika.
Ligi KuuSimba na mfupa mgumu mbele ya Julio!Tigana Lukinja03/05/2022Julio siku zote huwa anaamini yeye ni bora kuliko hawa makocha wa kigeni wanaokuja kufanya kazi na hizi timu.
Ligi KuuMkude ni rekodi juu ya rekodi katika “Derby” ya KariakooTigana Lukinja30/04/2022Pia ni mhanga wa kadi nyekundu katika moja ya mechi za kariakoo derby pale Estadio de Mkapa Leo ananenda kutuendikia rekodi.
Ligi KuuNakubaliana na uteuzi wa Ramadhani Kayoko kuamua Derby ya Kariakoo.Tigana Lukinja28/04/2022Nimemfahamu bwana mdogo Kayoko miaka kadhaa takribani 10 akianza career yake ya uamuzi,