Mchambuzi na Mkufunzi wa Mpira wa miguu. Tigana hufanya uchambuzi katika vituo mbali mbali vya redio na luninga. Mchezaji wa zamani wa Ligi Kuu Tanzania bara.
MUDATHIR YAHYA 🇹🇿 Ni Miongoni mwa wachezaji wa muhimu sana kwenye eneo la kiungo la Yanga (Young Africans) tangu msimu uliomalizika chini ya Mohamed Nabi Eneo la Kiungo la Young Africans linapata ubora wake tangu ajiunge na klabu kuanzia michuano ya ndani mpaka mashindano ya kimataifa! Msimu huu chini ya...