Blog

GUMZO: Nafasi ya Simba African League

Sambaza....

Ungana na wachambuzi wa Mtandao wa kandanda katika kuchambua, maswali na majibu, utabiri wa African League ambayo itafunguliwa Jijiji Dar Es Salaam.


Sambaza....
Subscribe
Notify of

5 Maoni
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
Tazama Maoni Yote

Mimi naomba kuuliza, Bingwa wa haya mashindano anapata faida zipi? Anashiriki Klabu Bingwa Dunia?

Hapana atapaza zawadi kubwa ya fedha lakini hatokwenda popote kuliwakilisha bara la Afrika

Ohhh Simba kwahiyo yumo katika ligi ya kifahari tu

Simba anayo nafasi kubwa ya kupata ushindi katika mchezo huo wa kihistoria wa ufunguzi wa michuao hiyo mipya lakini bado ana mtihani mkubwa na mgumu wakupata matokeo mazuri ya jumla na kufuzu nusu fainali mbele ya wababe hao wa Misri Al Ahly!

All the best Mnyama katika dimba la Benjamin Mkapa hapo Ijumaa, kikubwa ni kupata ushindi mnono hapafu kwenda kuulinda ushindi huo ugenini.

Tuisubiri mechi hiyo, angalau Kandanda mtupe historia ya tiju zinazokutana zilifikaje pia hatua hii.. tukunbushane tu

5
0
Tungependa kupata maoni yako, tafadhali tuambiax
()
x