Klabu ya Yanga, leo hii wanashuka Dimbani kutafuta tiketi ya Makundi Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Al Merrikh kutoka Sudani pale Chamazi. Ikumbukwe, Yanga wanamtaji wa Magoli mawili kwa sifuri. Ubunifu wa klabu hii katika kuzibrand mechi zake ni kivutio kikubwa sana kwa washabiki wake. Washabiki wa Wawili wa Kwanza...
igi Kuu Tanzania Bara imeshapata bingwa wake, Mabingwa mara 28 wa kombe hilo,Yanga SC. Zifuatazo ni mechi ambazo zinachezwa siku ya alhamisi kwaaajili ya kufunga Ligi Kuu.