KMC tujiulize, kuna tatizo gani hatupati matokeo?
KIUNGO wa zamani wa Real Kings ya Afrika Kusini, Coastal Union, Simba SC, Azam FC, Mtibwa Sugar FC, na Ashanti United, Abdulhalim Humud amesema anaamini kikosi chao cha KMC FC kitanyanyuka kuanzia Jumamosi hii na kuachana na matokeo ya sare. KMC ambayo inacheza ligi kuu kwa mara ya kwanza itaikabili...