Yanga imeweka kambi Morogoro, ikijiandaa na mechi za Ligi kuu na Mabingwa wa Afrika, pamoja na maandalizi ya Wiki ya Mwananchi ambalo linalenga kuitaambulisha timu kwa wananchi.
Unamkumbuka Marcio Maximo? Kocha wa zamani wa Taifa Stars na baadae Yanga Sc.. Pitia moja ya makala hii ambayo iliandikwa kipindi hicho na Dizo Moja (2009).